Friday, 9 May 2014

MWENGE WA UHURU WAMALIZA MBIO ZAKE SALAMA WILAYANI KARAGWE HUKU UKIZINDUA MIRADI MBALI MBALI YA MAENDELEO

Kiongozi wa Mbio za Mwenge Akikagua Klabu ya Wanafunzi wapinga Rushwa katika sekondari ya RUICHO Wilayani Karagwe.

Mkuu wa Wilaya ya KARAGWE Mh. Darry akitoa ya kwake kwa vijana

wanafunzi katika picha ya pamoja

Ndugu Rachel Kasanda akiuliza swali kwa mwanafunzi wa shule ya Msingi Chonyonyo.

Eveline wa kidato cha Nne Ruicho Sekondari akijibu masali kuhusu Mwenge, ambae pia alijibu kwa ufasha mkubwa na kupewa zawadi mbalimbali.

Mheshimiwa Mkuu Wa Wilaya-Karagwe Bi. Darry Ibrahim

No comments:

Post a Comment